27 Basi wakawaleta na kuwasimamisha mbele ya Sanhedrini. Kisha kuhani mukubwa akawauliza maulizo 28 na kusema: “Tuliwaamuru kwa mukazo musiendelee kufundisha katika jina hili,+ lakini muangalie! mumejaza Yerusalemu na mafundisho yenu, na mumekusudia kuleta damu ya mutu huyu juu yetu.”+