2 Sababu gani mataifa yako na musukosuko
Na vikundi vya watu vinasema kwa sauti ya chini-chini jambo lenye halina maana?+
2 Wafalme wa dunia wanajipanga
Na maofisa wakubwa wanakusanyika pamoja kama mutu mumoja+
Ili kumupinga Yehova na ili kumupinga mutiwa-mafuta wake.+