44 Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno yangu yenye niliwaambia wakati nilikuwa ningali pamoja na ninyi,+ kwamba mambo yote yenye yaliandikwa juu yangu katika Sheria ya Musa na katika Manabii, na Zaburi yanapaswa kutimizwa.”+
23 Mwanaume huyu, mwenye alitolewa kulingana na mapenzi yenye yaliamuliwa ya* Mungu na kulingana na uwezo wa Mungu wa kujua mambo mbele ya wakati,+ ninyi mulimupigilia misumari kwenye muti kupitia mukono wa watu wenye kuvunja sheria, na mukamuua.+