Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumuponda, na aliruhusu akuwe mugonjwa.

      Kama unatoa uzima wake* kuwa toleo la hatia,+

      Ataona uzao wake,* ataongeza siku zake,+

      Na kupitia yeye mapendezi* ya Yehova yatafanikiwa.+

  • Luka 24:44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno yangu yenye niliwaambia wakati nilikuwa ningali pamoja na ninyi,+ kwamba mambo yote yenye yaliandikwa juu yangu katika Sheria ya Musa na katika Manabii, na Zaburi yanapaswa kutimizwa.”+

  • Matendo 2:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Mwanaume huyu, mwenye alitolewa kulingana na mapenzi yenye yaliamuliwa ya* Mungu na kulingana na uwezo wa Mungu wa kujua mambo mbele ya wakati,+ ninyi mulimupigilia misumari kwenye muti kupitia mukono wa watu wenye kuvunja sheria, na mukamuua.+

  • 1 Petro 1:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Ni kweli, yeye alijulikana mbele ya wakati, mbele ya kuwekwa musingi wa ulimwengu,+ lakini alifunuliwa kwenye mwisho wa nyakati kwa ajili yenu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine