Matendo 5:1, 2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Hata hivyo, mwanaume mwenye aliitwa Anania, na Safira bibi yake, waliuzisha shamba. 2 Lakini alificha kiasi fulani cha feza, bibi yake akiwa anajua, na akaleta tu sehemu na kuiweka kwenye miguu ya mitume.+
5 Hata hivyo, mwanaume mwenye aliitwa Anania, na Safira bibi yake, waliuzisha shamba. 2 Lakini alificha kiasi fulani cha feza, bibi yake akiwa anajua, na akaleta tu sehemu na kuiweka kwenye miguu ya mitume.+