-
Yohana 10:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 na Yesu alikuwa anatembea katika hekalu katika mistari ya nguzo za Sulemani.+
-
-
Matendo 3:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Wakati mwanaume huyo alikuwa anaendelea kushikilia Petro na Yohana, watu wote wakakimbia pamoja na kuja kwao mahali kwenye kuliitwa Mistari ya Nguzo za Sulemani,+ walikuwa wameshangaa kabisa.
-