-
Luka 24:51Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
51 Wakati alikuwa anawabariki, akatenganishwa nao na kuchukuliwa juu mbinguni.+
-
-
Yohana 6:62Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
62 Basi, itakuwa namna gani, kama munamuona Mwana wa binadamu anapanda ili kurudia kwenye alikuwa hapo mbele?+
-