2 Na angalia! tetemeko kubwa la inchi lilikuwa limetokea, kwa maana malaika wa Yehova alikuwa ameshuka kutoka mbinguni na akakuja, akaviringisha na kutosha lile jiwe, na alikuwa analiikalia.+ 3 Alionekana kama umeme wa radi, na nguo zake zilikuwa nyeupe kama teluji.+