1 Wakorinto 12:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Na Mungu ameweka watu mbalimbali katika kutaniko: kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu (3), walimu;+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za kuponyesha;+ utumishi wa kusaidia; uwezo wa kuongoza;+ na luga mbalimbali.+ Waefeso 4:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Na alitoa wengine wakuwe mitume,+ wengine manabii,+ wengine waeneza-injili,*+ wengine wachungaji na walimu,+
28 Na Mungu ameweka watu mbalimbali katika kutaniko: kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu (3), walimu;+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za kuponyesha;+ utumishi wa kusaidia; uwezo wa kuongoza;+ na luga mbalimbali.+
11 Na alitoa wengine wakuwe mitume,+ wengine manabii,+ wengine waeneza-injili,*+ wengine wachungaji na walimu,+