-
Marko 14:70Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
70 Tena alikuwa anakana. Na kisha wakati kidogo, wale wenye walikuwa wanasimama pale wakaanza tena kumuambia Petro: “Hakika wewe ni mumoja wao, kwa maana, kwa kweli, wewe ni Mugalilaya.”
-
-
Matendo 1:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 na kusema: “Wanaume wa Galilaya, sababu gani munasimama na kuangalia katika anga? Huyu Yesu mwenye alipandishwa juu kutoka kwenu ili kuenda katika anga, atakuja kwa namna ileile mumemuona anaenda katika anga.”
-