-
Danieli 8:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Katika mwaka wa tatu (3) wa ufalme wa Mufalme Belshaza,+ maono yalinitokea, mimi, Danieli, kisha yale yenye yalinitokea pale mwanzo.+ 2 Niliona maono, na wakati niliona nilikuwa katika ngome* ya Shushani,*+ yenye kuwa katika jimbo la* Elamu;+ niliona maono, na nilikuwa pembeni ya mufereji wa Ulai.
-