Matendo 13:2, 3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Wakati walikuwa wanamutolea Yehova* utumishi* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Muweke pembeni Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu juu ya kazi yenye nimewaitia.”+ 3 Basi, kisha kufunga na kusali, wakaweka mikono juu yao, na wakawaacha waende.
2 Wakati walikuwa wanamutolea Yehova* utumishi* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Muweke pembeni Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu juu ya kazi yenye nimewaitia.”+ 3 Basi, kisha kufunga na kusali, wakaweka mikono juu yao, na wakawaacha waende.