-
Matendo 19:24, 25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Kwa maana mutu mumoja mwenye kuitwa Demetrio, fundi wa feza mwenye alitengeneza vihekalu vya feza vya Artemi, aliletea mafundi faida kubwa.+ 25 Akawakusanya pamoja na wengine wenye walikuwa wanatengeneza vitu kama hivyo na kuwaambia: “Wanaume, munajua muzuri kwamba utajiri wetu unatokana na biashara hii.
-