23 Basi watu hao wote pamoja wakasimama, na wakamupeleka kwa Pilato.+ 2 Kisha wakaanza kumushitaki,+ wakisema: “Tulimukuta mutu huyu akileta muvurugo katika taifa letu na kukataza watu kulipa Kaisari+ kodi, na kusema kwamba yeye mwenyewe ndiye Kristo mufalme.”+