-
Matendo 17:33, 34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
33 Basi Paulo akawaacha, 34 lakini wanaume fulani wakajiunga naye na wakakuwa waamini. Kati yao kulikuwa Dionisio, mwenye alikuwa muamuzi wa tribinali ya Areopago, na mwanamuke mwenye aliitwa Damari, na wengine pamoja nao.
-