-
Zaburi 96:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Mbele ya Yehova, kwa maana anakuja,*
Anakuja kuhukumu dunia.
-
-
Zaburi 98:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Mbele ya Yehova, kwa maana anakuja* kuhukumu dunia.
-
-
Yohana 5:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Kwa maana Baba hahukumu mutu yeyote hata kidogo, lakini amepatia Mwana kazi yote ya kuhukumu,+
-