Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Mbele ya Yehova, kwa maana anakuja,*

      Anakuja kuhukumu dunia.

      Atahukumu kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu*+

      Na vikundi vya watu kwa uaminifu wake.+

  • Zaburi 98:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Mbele ya Yehova, kwa maana anakuja* kuhukumu dunia.

      Atahukumu kwa haki dunia yenye kuikaliwa na watu*+

      Na vikundi vya watu kwa haki.+

  • Yohana 5:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa maana Baba hahukumu mutu yeyote hata kidogo, lakini amepatia Mwana kazi yote ya kuhukumu,+

  • Matendo 10:42
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 Pia, alituamuru tuhubirie watu na kutoa ushahidi kamili+ kwamba yeye ndiye aliwekwa na Mungu kuwa muamuzi wa wazima na wafu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine