16 Basi akafika Derbe na pia Listra.+ Na mwanafunzi mumoja mwenye kuitwa Timoteo+ alikuwa kule, alikuwa mwana wa mwanamuke Muyahudi mwenye alikuwa muamini, lakini baba yake alikuwa Mugiriki, 2 na ndugu kule Listra na Ikoniamu walikuwa wanatoa ushahidi muzuri juu yake.