Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 9:23, 24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Sasa wakati aliingia katika nyumba ya ule mutawala na kuona wapiga-filimbi na watu wengi wenye kufanya fujo sana,+ 24 Yesu akasema: “Mutoke hapa, kwa maana mutoto huyu mwanamuke hakukufa lakini analala usingizi.”+ Basi wakaanza kumucheka kwa zarau.

  • Yohana 11:39, 40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Yesu akasema: “Mutoshe lile jiwe.” Marta, dada ya ule mwenye alikufa akamuambia: “Bwana, kufikia sasa lazima anapaswa kuwa ananuka, kwa maana ni siku ine (4) tangu alikufa.” 40 Yesu akamuambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”+

  • Matendo 9:39, 40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Halafu Petro akasimama na kuenda pamoja nao. Na wakati alifika, wakamupeleka katika kile chumba cha juu; na wajane wote wakakuja kwenye alikuwa wakilia na kuonyesha nguo nyingi na kanzu* zenye Dorkasi alitengeneza wakati alikuwa pamoja nao. 40 Kisha Petro akasema kila mutu aende inje,+ na akapiga magoti, akasali. Kisha akageuka kuelekea ule mwili, akasema: “Tabita, simama!” Akafungua macho yake na wakati aliona Petro, akakaa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine