Marko 1:14, 15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Sasa, kisha Yohana kukamatwa, Yesu akaenda Galilaya,+ akihubiri habari njema ya Mungu+ 15 na kusema: “Wakati wenye uliwekwa umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Mutubu,+ na mukuwe na imani katika habari njema.”
14 Sasa, kisha Yohana kukamatwa, Yesu akaenda Galilaya,+ akihubiri habari njema ya Mungu+ 15 na kusema: “Wakati wenye uliwekwa umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Mutubu,+ na mukuwe na imani katika habari njema.”