Matayo 28:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Yesu akawakaribia na kuwaambia, na kusema: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+ Yohana 3:35 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 35 Baba anamupenda Mwana+ na ametia vitu vyote katika mukono wake.+ Matendo 5:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Huyo, Mungu alimuinua kuwa Kiongozi Mukubwa+ na Mwokozi+ kwenye mukono wake wa kuume,+ ili Israeli ipate kutubu na kupokea musamaha wa zambi.+
31 Huyo, Mungu alimuinua kuwa Kiongozi Mukubwa+ na Mwokozi+ kwenye mukono wake wa kuume,+ ili Israeli ipate kutubu na kupokea musamaha wa zambi.+