12 Lakini wakati walimuamini Filipo, mwenye alikuwa anatangaza habari njema ya Ufalme wa Mungu+ na ya jina la Yesu Kristo, wanaume na vilevile wanamuke walikuwa wanabatizwa.+
8 Lakini Krispo,+ ofisa-musimamizi wa sinagogi akakuwa muamini katika Bwana, yeye pamoja na nyumba yake yote. Na Wakorinto wengi wenye walisikia wakaanza kuamini na kubatizwa.