14 Lakini ninakubali jambo hili mbele yako, kwamba kulingana na ile njia yenye wao wanaita zehebu, kwa namna hii ninamutolea Mungu wa mababu zangu utumishi mutakatifu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yenye kuwa katika Sheria na yenye yameandikwa katika Manabii.+