Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 8:14, 15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Na wakati Yesu aliingia katika nyumba ya Petro, aliona mama-mukwe wa Petro+ amelala na alikuwa na ugonjwa wa homa.+ 15 Basi akagusa mukono wake,+ na homa hiyo ikamutoka, akasimama na kuanza kumutumikia.

  • Matayo 9:24, 25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Yesu akasema: “Mutoke hapa, kwa maana mutoto huyu mwanamuke hakukufa lakini analala usingizi.”+ Basi wakaanza kumucheka kwa zarau. 25 Kisha tu kuambia watu hao wengi waende inje, Yesu akaingia na akakamata mukono wa mutoto huyo mwanamuke,+ na mutoto huyo akaamuka.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine