24 Yesu akasema: “Mutoke hapa, kwa maana mutoto huyu mwanamuke hakukufa lakini analala usingizi.”+ Basi wakaanza kumucheka kwa zarau. 25 Kisha tu kuambia watu hao wengi waende inje, Yesu akaingia na akakamata mukono wa mutoto huyo mwanamuke,+ na mutoto huyo akaamuka.+