-
Yohana 5:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Yesu akamuambia: “Simama! Kamata kitanda chako na utembee.”+ 9 Na mutu huyo akapona mara moja, akakamata kitanda chake na kuanza kutembea.
Siku hiyo ilikuwa Sabato.
-
-
Matendo 14:8-10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Sasa kule Listra kulikuwa mwanaume mumoja mwenye alikuwa amekaa chini, alikuwa kilema wa miguu. Alikuwa kilema wa miguu tangu kuzaliwa kwake na alikuwa hajatembea hata siku moja. 9 Mutu huyo alikuwa anamusikiliza Paulo wakati alikuwa anasema. Wakati Paulo alimukazia macho na kuona kwamba iko* na imani ya kuponyeshwa,+ 10 akamuambia kwa sauti kubwa: “Simama kwa miguu yako.” Basi ule mwanaume akaruka na kuanza kutembea.+
-