Matendo 5:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Huyo, Mungu alimuinua kuwa Kiongozi Mukubwa+ na Mwokozi+ kwenye mukono wake wa kuume,+ ili Israeli ipate kutubu na kupokea musamaha wa zambi.+ Waebrania 2:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kwa maana ilifaa kwamba ule mwenye kwa ajili yake na kupitia yeye vitu vyote viko, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ afanye Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao+ kuwa mukamilifu kupitia mateso.+
31 Huyo, Mungu alimuinua kuwa Kiongozi Mukubwa+ na Mwokozi+ kwenye mukono wake wa kuume,+ ili Israeli ipate kutubu na kupokea musamaha wa zambi.+
10 Kwa maana ilifaa kwamba ule mwenye kwa ajili yake na kupitia yeye vitu vyote viko, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ afanye Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao+ kuwa mukamilifu kupitia mateso.+