Ezekieli 33:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 “‘Na wakati ninamuambia muovu: “Hakika utakufa,” naye anaacha zambi yake na kutenda haki na uadilifu,*+ Ezekieli 33:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Hakuna zambi yoyote yenye alitenda yenye itahesabiwa* juu yake.+ Kwa sababu anatenda haki na uadilifu,* hakika ataendelea kuishi.’+ 1 Yohana 1:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Hata hivyo, kama tuko tunatembea katika mwangaza kama vile yeye mwenyewe iko* katika mwangaza, tuko katika umoja mumoja na mwingine, na damu ya Yesu Mwana wake inatusafisha kutoka katika zambi yote.+
14 “‘Na wakati ninamuambia muovu: “Hakika utakufa,” naye anaacha zambi yake na kutenda haki na uadilifu,*+
16 Hakuna zambi yoyote yenye alitenda yenye itahesabiwa* juu yake.+ Kwa sababu anatenda haki na uadilifu,* hakika ataendelea kuishi.’+
7 Hata hivyo, kama tuko tunatembea katika mwangaza kama vile yeye mwenyewe iko* katika mwangaza, tuko katika umoja mumoja na mwingine, na damu ya Yesu Mwana wake inatusafisha kutoka katika zambi yote.+