17 Wakati Abramu alikuwa na miaka makumi kenda na kenda (99), Yehova akamutokea Abramu na kumuambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote. Tembea mbele yangu na ujionyeshe kuwa hauna kosa. 2 Nitatia agano langu kati yangu na wewe,+ na nitakufanya uongezeke sana, tena sana.”+