Waebrania 11:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kwa imani Abrahamu,+ wakati aliitwa, alitii kwa kutoka na kuenda mahali kwenye angepokea kuwa uriti; alitoka, hata kama hakujua mahali alikuwa anaenda.+
8 Kwa imani Abrahamu,+ wakati aliitwa, alitii kwa kutoka na kuenda mahali kwenye angepokea kuwa uriti; alitoka, hata kama hakujua mahali alikuwa anaenda.+