Waroma 9:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Ni kusema, watoto katika mwili hawako watoto wa Mungu wa kwelikweli,+ lakini watoto kupitia ahadi+ ndio wanahesabiwa kuwa uzao.* Wagalatia 3:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Zaidi ya hayo, kama ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ wariti+ kuhusiana na ahadi.+
8 Ni kusema, watoto katika mwili hawako watoto wa Mungu wa kwelikweli,+ lakini watoto kupitia ahadi+ ndio wanahesabiwa kuwa uzao.*
29 Zaidi ya hayo, kama ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ wariti+ kuhusiana na ahadi.+