5 Sasa akamupeleka inje na kusema: “Tafazali, angalia juu mbinguni na uhesabie nyota, kama unaweza kufanya vile.” Kisha akamuambia: “Ni vile uzao wako utakuwa.”*+
17 Kwa imani Abrahamu wakati alijaribiwa,+ ni kama vile alimutoa Isaka—mutu huyo mwenye alikuwa amepokea ahadi kwa furaha alijaribu kumutoa mwana wake muzaliwa-pekee+— 18 hata kama alikuwa ameambiwa: “Ule wenye utaitwa uzao wako utakuja* kupitia Isaka.”+