31 Kisha Yesu akaendelea kuambia Wayahudi wenye walikuwa wamemuamini: “Kama munakaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, 32 na mutajua kweli,+ na kweli itawaweka ninyi huru.”+
25 Lakini ule mwenye anaangalia katika sheria kamilifu+ ya uhuru na anaendelea kuwa katika hiyo, amekuwa, hapana musikiaji musahaulifu, lakini mutendaji wa kazi; na atafurahia kile chenye anafanya.+