Yohana 8:31, 32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Kisha Yesu akaendelea kuambia Wayahudi wenye walikuwa wamemuamini: “Kama munakaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, 32 na mutajua kweli,+ na kweli itawaweka ninyi huru.”+ 1 Wakorinto 15:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vilevile pia katika Kristo wote watafanywa kuwa wazima.+
31 Kisha Yesu akaendelea kuambia Wayahudi wenye walikuwa wamemuamini: “Kama munakaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, 32 na mutajua kweli,+ na kweli itawaweka ninyi huru.”+
22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vilevile pia katika Kristo wote watafanywa kuwa wazima.+