2 Wakorinto 4:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa maana Mungu ndiye alisema: “Mwangaza uangaze kutoka katika giza,”+ na ameangazia mioyo yetu ili kuitolea mwangaza+ kwa ujuzi wenye utukufu wa Mungu kupitia uso wa Kristo.
6 Kwa maana Mungu ndiye alisema: “Mwangaza uangaze kutoka katika giza,”+ na ameangazia mioyo yetu ili kuitolea mwangaza+ kwa ujuzi wenye utukufu wa Mungu kupitia uso wa Kristo.