14 Basi akasema: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana watu wa Israeli wameacha agano lako,+ wamebomoa mazabahu zako, na wameua manabii wako kwa upanga, na ni mimi tu ndiye nimebakia. Sasa wanatafuta kuondoa uzima wangu.”+