14 Lakini akili zao zilitiwa uzito.+ Kwa maana mupaka leo, kitambaa kilekile kinabakia bila kuondolewa wakati agano la zamani linasomwa,+ kwa sababu kinaondolewa tu kupitia Kristo.+ 15 Kwa kweli mupaka leo, kila wakati wenye Musa anasomwa,+ kitambaa kinakaa juu ya mioyo yao.+