17 Lakini hekima yenye inatoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda ya muzuri,+ haibague,+ na haiko ya kinafiki.+
22 Sasa kwa sababu mumejitakasa ninyi wenyewe* kwa utiifu wenu kwa ile kweli na hivyo mukakuwa na upendo wa kindugu+ wenye hauna unafiki, mupendane sana kutoka katika moyo.+