Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 35 Kisasi ni changu, na malipo,+Kwa wakati wenye kuwekwa wakati muguu wao utatereza,+Kwa maana siku ya musiba wao iko karibu,Na chenye kinawangojea kitafika haraka.’ Waebrania 10:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 Kwa maana tunajua Ule mwenye alisema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa.” Na tena: “Yehova* atahukumu watu wake.”+
35 Kisasi ni changu, na malipo,+Kwa wakati wenye kuwekwa wakati muguu wao utatereza,+Kwa maana siku ya musiba wao iko karibu,Na chenye kinawangojea kitafika haraka.’
30 Kwa maana tunajua Ule mwenye alisema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa.” Na tena: “Yehova* atahukumu watu wake.”+