Wakolosai 3:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Lakini zaidi ya mambo haya yote, muvae upendo,+ kwa maana upendo ni kifungo kikamilifu cha umoja.+ 1 Timoteo 1:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa kweli, kusudi la agizo* hili ni upendo+ wenye kutoka katika moyo safi na zamiri ya muzuri na imani+ yenye haina unafiki. 1 Yohana 4:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Wapendwa, kama Mungu alitupenda hivi, basi sisi pia tunalazimika kupendana.+
14 Lakini zaidi ya mambo haya yote, muvae upendo,+ kwa maana upendo ni kifungo kikamilifu cha umoja.+
5 Kwa kweli, kusudi la agizo* hili ni upendo+ wenye kutoka katika moyo safi na zamiri ya muzuri na imani+ yenye haina unafiki.