23 Na kama jambo hilo lilifanywa ili ajulishe utajiri wa utukufu wake kwa vyombo vya rehema,+ vyenye alitayarisha mbele ya wakati kwa ajili ya utukufu, 24 ni kusema, sisi, wenye aliita hapana kutoka kati ya Wayahudi peke yao lakini pia kutoka kati ya mataifa,+ kuko ubaya gani?