-
Zaburi 14:1-3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Mupumbavu* anasema katika moyo wake:
“Hakuna Yehova.”+
Matendo yao yamepotoka, na shuguli zao zinachukiza;
Hakuna mwenye kutenda mema.+
2 Lakini Yehova anaangalia wana wa binadamu akiwa mbinguni
Ili aone kama kuko mutu yeyote mwenye kuwa na ufahamu, kama kuko mutu yeyote mwenye kumutafuta Yehova.+
3 Wote wameenda pembeni;+
Wote wamepotoka katika njia ileile.
Hakuna mwenye kutenda mema,
Hakuna hata mumoja.
-