Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 7:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kwa kweli, wakati fulani nilikuwa muzima bila sheria. Lakini wakati amri ilifika, zambi ikakuwa na uzima tena, lakini mimi nikakufa.+

  • Waroma 7:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kwa hiyo, je, mambo ya muzuri yaliniletea kifo? Hapana kabisa! Lakini zambi ilifanya vile, ili ionyeshwe kuwa zambi ndiyo inaniletea kifo kupitia mambo ya muzuri;+ ili kupitia amri zambi ikuwe yenye zambi zaidi.+

  • Wagalatia 3:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Basi, sababu gani Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yakuwe wazi,+ mupaka uzao ufike+ wenye ulikuwa umepewa* ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mukono wa mupatanishi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine