11 Kwa maana uzima wa mwili uko* katika damu,+ na mimi mwenyewe nimeitoa kwenye mazabahu+ kwa ajili yenu* ili mufunike zambi kwa ajili yenu wenyewe, kwa maana damu ndiyo inafunika zambi+ kupitia uzima wenye* kuwa ndani yake.
39 na kwamba katika mambo yote yenye hamungetangazwa kupitia Sheria ya Musa+ kuwa hamuna kosa, kila mutu mwenye kuamini anatangazwa kuwa hana kosa kupitia mutu huyu.+
7 Kupitia yeye tunaachiliwa huru kwa njia ya bei ya ukombozi kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, musamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fazili zake zenye hazistahiliwe.