Hesabu 14:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Waisraeli wote wakaanza kumunungunikia Musa na Haruni,+ na mukusanyiko wote ukawanungunikia, na kusema: “Ingekuwa muzuri kama tungekufia katika inchi ya Misri, ao ingekuwa muzuri kama tungekufia katika jangwa hili!
2 Waisraeli wote wakaanza kumunungunikia Musa na Haruni,+ na mukusanyiko wote ukawanungunikia, na kusema: “Ingekuwa muzuri kama tungekufia katika inchi ya Misri, ao ingekuwa muzuri kama tungekufia katika jangwa hili!