8 Mulinde akili zenu, mukuwe macho!+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba mwenye kunguruma, akitafuta kumumeza mutu.+ 9 Lakini mumupinge,+ mukiwa imara katika imani, mukijua kwamba mateso yaleyale yanapata ushirika muzima wa ndugu zenu katika ulimwengu.+