Waroma 14:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Kwa hiyo basi, tufuatilie mambo yenye yanafanya kukuwe amani+ na mambo ya kujengana mumoja na mwingine.+ Waroma 15:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kila mumoja wetu amutendee jirani yake mambo ya muzuri, ili kumujenga.+
19 Kwa hiyo basi, tufuatilie mambo yenye yanafanya kukuwe amani+ na mambo ya kujengana mumoja na mwingine.+