2 Haya ndiyo majina ya wale mitume kumi na mbili (12):+ Kwanza, Simoni, mwenye kuitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana+ ndugu yake;
33 Na wakasimama saa ileile na kurudia Yerusalemu, na wakakuta wale Kumi na Moja (11) na wale wenye walikuwa wamekusanyika pamoja nao, 34 na hawa wakasema: “Kwa kweli Bwana alifufuliwa, na alimutokea Simoni!”+