Matendo 26:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 kwamba Kristo angeteseka+ na kwamba akiwa wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ angetangaza mwangaza kwa watu hawa na pia kwa mataifa.”+ Wakolosai 1:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 na yeye ni kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ni mwanzo, muzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili akuwe ndiye wa kwanza katika mambo yote;
23 kwamba Kristo angeteseka+ na kwamba akiwa wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ angetangaza mwangaza kwa watu hawa na pia kwa mataifa.”+
18 na yeye ni kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ni mwanzo, muzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili akuwe ndiye wa kwanza katika mambo yote;