3 Wakati alikuwa amekaa chini kwenye Mulima wa Mizeituni, wanafunzi wakamukaribia akiwa peke yake, na kusema: “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mupangilio wa mambo?”*+
16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni na mwito wenye amri, pamoja na sauti ya malaika mukubwa+ na tarumbeta ya Mungu, na wale wenye walikufa katika umoja na Kristo watafufuliwa kwanza.+