-
Matendo 18:26-28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
26 Akaanza kusema bila woga katika sinagogi, na wakati Prisila na Akila+ walimusikia, wakamuchukua na kumufasiria njia ya Mungu sawasawa kabisa.* 27 Pia, kwa sababu alitaka kuvuka na kuenda Akaya, ndugu wakaandikia wanafunzi na kuwaomba wamukaribishe kwa fazili. Basi wakati alifika kule, akasaidia sana wale wenye kupitia fazili zenye hazistahiliwe za Mungu walikuwa wameamini; 28 kwa maana alihakikisha kabisa-kabisa mbele ya watu wote na kwa bidii nyingi kwamba Wayahudi walikuwa wamekosea, na aliwaonyesha kwa kutumia Maandiko kwamba Yesu ndiye Kristo.+
-