Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 18:26-28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Akaanza kusema bila woga katika sinagogi, na wakati Prisila na Akila+ walimusikia, wakamuchukua na kumufasiria njia ya Mungu sawasawa kabisa.* 27 Pia, kwa sababu alitaka kuvuka na kuenda Akaya, ndugu wakaandikia wanafunzi na kuwaomba wamukaribishe kwa fazili. Basi wakati alifika kule, akasaidia sana wale wenye kupitia fazili zenye hazistahiliwe za Mungu walikuwa wameamini; 28 kwa maana alihakikisha kabisa-kabisa mbele ya watu wote na kwa bidii nyingi kwamba Wayahudi walikuwa wamekosea, na aliwaonyesha kwa kutumia Maandiko kwamba Yesu ndiye Kristo.+

  • Matendo 19:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Kisha, wakati Apolo+ alikuwa Korinto, Paulo alisafiri katika barabara mbali na bahari na akashuka mupaka Efeso.+ Akakuta kule wanafunzi fulani

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine