-
Waroma 2:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Na atalipa kila mutu kulingana na matendo yake:+
-
-
Ufunuo 22:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 “‘Angalia! Ninakuja mbio, na zawabu yenye ninatoa iko pamoja na mimi, ili kulipa kila mumoja kulingana na matendo yake.+
-