-
2 Wakorinto 4:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kwa hiyo, kwa kuwa tuko na utumishi huu kupitia rehema yenye tulionyeshwa, hatuache. 2 Hata hivyo, tumekataa mambo ya chini-chini ya kusikilia haya, hatutembee kwa ujanja ao kuchanganya neno la Mungu na kitu kingine;+ lakini kwa kufanya kweli ikuwe wazi, tunajipendekeza kwa kila zamiri ya mwanadamu mbele ya macho ya Mungu.+
-